Nilikuwa nimeishi maisha ya huzuni kwa miaka kadhaa. Kila jaribio langu la kufanikisha jambo lolote lilishindikana. Biashara yangu, mahusiano, hata maisha ya kila siku yalionekana kuchukua mwelekeo mbaya bila sababu ya wazi.
Nilijaribu kila njia niliyokuwa nayo, lakini kila kitu kilishindikana, na mara nyingi nilijikuta nikiuliza, “Ni kwanini mimi?” Lakini kizungumkuti kilizidi zaidi pale nilipoanza kugundua dalili zisizo za kawaida.…CONTINUE READING