Kwa muda mrefu, nyumba yetu haikuwa na utulivu. Hakukuwa na ugomvi mkubwa unaoonekana, ila kulikuwa na mvutano wa kila siku. Watoto walikuwa wakigombana mara kwa mara, mimi na mwenzi wangu tulizungumza kwa sauti nzito, na hata mambo madogo yaligeuka kuwa makubwa.
Nilijiuliza ni wapi tulikosea, maana tulijitahidi kuwa wazazi na wenzi wema. Nilijaribu kubadilisha ratiba, kuanzisha mazungumzo ya familia, na hata kupuuza baadhi ya mambo ili kulinda amani. Haikudumu.…CONTINUE READING