Hali ya taharuki na vilio ilitawala katika kijiji cha Vihiga baada ya jeneza lililobeba mwili wa kijana wa mchungaji mmoja maarufu kugoma kuingia kaburini. Licha ya vijana wanane wenye nguvu kujaribu kulishusha, jeneza hilo lilikuwa zito kama jiwe na kila wakilisongeza karibu na shimo, liliruka na kurudi nje kwa nguvu ya ajabu.
​Umati wa watu uliofika mazikoni ulianza kukimbia hovyo huku wengine wakisema kijana huyo ana jambo moyoni. Mchungaji, akiwa amejawa na aibu, alijaribu kuomba na kukemea mapepo lakini wapi! Jeneza lilibaki likiyumba hewani kama lina uhai wake. Ilibidi mzee mmoja wa ukoo aseme ukweli: “Kijana huyu aliuawa kimazingara ili mchungaji apate utajiri wa kanisa!”…CONTINUE READING