Jeneza la Mwanawe Pastor Lakataa Kuzikwa: Siri ya Kafara Yafichuka Hadharani

Kijiji cha mbali cha Embu kilikumbwa na taharuki isiyo ya kawaida wakati wa mazishi ya kijana wa kwanza wa Mchungaji mmoja maarufu. Kijana huyo alifariki ghafla, lakini siku ya mazishi, jeneza lake liligoma kabisa kuingia kaburini.

Kila vijana walipolishusha, jeneza liliruka juu na kurudi nje ya shimo, huku sauti ya ajabu ikisikika ikitokea ndani ya mbao hizo. Umati wa waumini ulianza kukimbia hovyo, wengine wakipiga mayowe kuwa kijana huyo hakuuawa na ugonjwa bali ni kafara ya kanisa.…CONTINUE READING