Kwa miaka mingi, nilijaribu kupata kazi kwenye makampuni makubwa na ya kimataifa, lakini kila jaribio lilishindikana. Kila maombi yangu ya kazi yalipokelewa kwa kukanushwa au bila jibu kabisa.
Nilijikuta nikihisi kuchoshwa, kudharauliwa, na hata kuanza kujiuliza kama nilikuwa na thamani ya kufanya kazi katika kampuni yoyote. Hali hii ilinifanya nihisi huzuni kubwa, shauku yangu ya kukua kitaaluma ikipotea kidogo kidogo.…CONTINUE READING