Miguu ya mtoto wangu ilianza kuwa shida kubwa baada ya kuanza kutembea. Kila hatua ilikuwa changamoto; alitetemeka, alikosa usawa, na mara nyingine alikuwa akimeza maumivu machoni mwake bila sababu inayoonekana.
Nilimpeleka kwa madaktari, tulifanyiwa vipimo vyote vya kawaida, lakini hakuna kilichobaini tatizo lolote la kiafya. Sayansi ilinishangaza hakuna aliyebaini chanzo cha tatizo lake.…CONTINUE READING