Mpenzi Wangu Aliniacha na Kuolewa na Mwingine Miezi Mitatu Baadaye Alirudi Akilia Mlangoni Kwangu

Siku niliyopokea ujumbe wake wa mwisho bado unauma hadi leo. Hakukuwa na maelezo marefu, hakukuwa na majibu ya maswali yangu. Aliniambia tu ameona siwezi kumpa maisha aliyoyataka, na akanitakia kila la heri. Ndani ya muda mfupi sana, nilisikia amepata mtu mwingine.

Kabla hata sijakusanya vipande vya moyo wangu, ndoa yake ikatangazwa. Nilidharauwa vibaya. Marafiki walinicheka, wengine wakaniambia nisonge mbele. Lakini hawakujua jinsi nilivyompenda kwa dhati. Tulikuwa tumepanga maisha, biashara, hata majina ya watoto.…CONTINUE READING