Mwaka Mpya Ulifika Bado Sina Kazi Uamuzi Nilioufanya Uliofungua Milango ya Ajira

Nilipoingia Januari, sikuwa na kazi wala ahadi ya ajira. Mwaka uliopita uliisha nikiwa bado na CV mkononi, nikituma maombi bila majibu. Kila mtu alikuwa na matumaini ya mwaka mpya, lakini kwangu ulianza na maswali: nitajilipa vipi kodi, nitaishi vipi, na nitawezaje kujisaidia bila kuomba kila mahali?

Kila siku niliamka mapema nikitafuta kazi mtandaoni na kutembea ofisi kwa ofisi, lakini milango ilikuwa imefungwa. Nilianza kujilaumu na kupoteza kujiamini. Nilihisi kama kuna kitu kinanizuia, hata pale nilipohitimu vizuri na kuwa na uzoefu.…CONTINUE READING