Nilipokutana na mwanamke huyu kwenye TikTok, nilijisikia kuwa tumekubaliana na tutaweza kuendesha uhusiano wa kirafiki kwa heshima. Ili kuonyesha imani na nia yangu nzuri, nikatuma pesa kwa ajili ya mahitaji yake ya msingi.
Nilidhani hii itasaidia kuimarisha uhusiano wetu wa kirafiki. Lakini siku chache baadaye, nikagundua kuwa mwanamke huyu alikula pesa niliyomtumia bila ruhusa yangu na, zaidi ya yote, akaniblock kwenye simu na mitandao yote.…CONTINUE READING