Nilihisi siku hiyo ingekuwa ya kawaida. Nilitoka nyumbani kuenda kwenye sherehe ya mahari, nikijua yote yangeenda vizuri. Lakini ghafla, siku hiyo ikawa ndoto mbaya.
Sikuikamilisha. Nilipotea bila kuwa na mpangilio wa kweli. Hakuna aliyenielewa, na kwa saa nyingi hakuna hata aliyetarajia kuniona.…CONTINUE READING