Ndoa Yetu Ilifika Hatua ya Kimya na Machozi Kisha Ukweli Ukaanza Kuponya Kila Kitu

Kulikuwa na siku niligundua kuwa ukimya unaweza kuumiza kuliko maneno. Mimi na mke wangu tulikuwa tunaishi nyumba moja, tunalala kitanda kimoja, lakini mioyo yetu ilikuwa mbali sana.

Hakukuwa na ugomvi mkubwa, wala kelele kulikuwa na kimya kizito kilichokuwa kikinikandamiza kila siku.
Nilijaribu kuanzisha mazungumzo, lakini kila nilipofungua mdomo nilikuta ukuta.…CONTINUE READING