Mimi nilianza kuona jambo la ajabu kwenye maisha yangu. Kila mara nilipopata mafanikio kazini, kama kupandishwa cheo au kupata kazi nzuri, nilianza kuumwa ghafla bila sababu ya wazi.
Mwanzoni nilidhani ni uchovu wa kawaida. Lakini hali ilirudia kila nilipopiga hatua mbele. Nilianza kuhisi kama mafanikio yangu yanageuka kuwa chanzo cha matatizo ya afya.…CONTINUE READING