Nilidharauliwa Kwa Kuwa Kimya Kwenye Mahusiano Lakini Hatua Moja Ilinifundisha Kujithamini

Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa kuvumilia sana. Kila nilipodharauwa, nilikaa kimya. Kila nilipoumizwa kwa maneno, nilijipa moyo kuwa subira ni ishara ya upendo. Nilijidanganya kuwa ukimya wangu ulikuwa unaokoa mahusiano, bila kujua kuwa ulikuwa unayaharibu na kunivunja mimi taratibu.

Nilitoa kila nilichoweza muda, moyo, na nguvu lakini heshima haikuwahi kurudi kwangu.
Kadri siku zilivyopita, maumivu ya ndani yaliongezeka. Nilianza kujilaumu kwa kila kitu kilichoharibika. Nilihisi kuwa labda mimi ni dhaifu, labda sitoshi, au labda mapenzi yanahitaji mtu ajifute.…CONTINUE READING