Kwa muda mrefu, nilijaribu kufanikisha maisha yangu kila jambo lilionekana kunizidi. Biashara zangu hazikua, kazi zangu hazikuleta matokeo, na kila mara nilihisi nimekumbwa na vizuizi visivyoonekana.
Nilianza kujiuliza kama kuna nguvu fulani inanikwamisha, nikishindwa kuelewa ni kwa nini jitihada zangu hazina matokeo. Hali hii ilinifanya niwe na hofu na wasiwasi kila siku.…CONTINUE READING