Niliitwa Mvivu Kazini Siku Niliyopata Cheo, Wote Walibaki Midomo Wazi

Kwa miaka kadhaa kazini, jina langu halikuwa zuri. Nilikuwa napitwa kwenye miradi, maoni yangu yalipuuzwa, na kila kosa lilionekana kubwa nikifanya mimi. Nilijitahidi kufanya kazi kwa bidii, lakini juhudi zangu zilionekana kama hazionekani.

Taratibu, wenzangu walianza kuniita mvivu na mtu wa visingizio, jambo lililoniumiza zaidi kuliko nilivyokiri hadharani. Kilichonichosha si kazi yenyewe, bali mazingira. Nilikuwa nafanya majukumu yanayozidi nafasi yangu, lakini sifa zikichukuliwa na wengine.…CONTINUE READING