Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa kuonewa huruma. Nilikuwa nakula kama wengine, wakati mwingine hata zaidi, lakini mwili haukonyesha dalili zozote za kunona au kuongezeka uzito. Kila nilipokutana na watu, waliniambia “unakonda sana” au “unaumwa?”
Maneno hayo yaliingia akilini na kunifanya nijione sina thamani. Nilijaribu protini za dukani, kuongeza milo, na hata kubadilisha ratiba ya kula, lakini hakuna kilichobadilika.…CONTINUE READING