Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa kulaumiwa kwa kila jambo. Kila kitu kikiharibika, macho yaligeuka kwangu. Kazi ikiyumba, familia ikagombana, biashara ikishindwa jina langu lilitajwa. Niliambiwa ni mkosi, ninaleta bahati mbaya, na niwe mbali. Nilivumilia kimya kimya, nikijilaumu, nikijiuliza kosa langu ni nini.
Kilichonichanganya ni kwamba, nilipokuwa peke yangu mambo yalikaa sawa kidogo. Lakini kila nilipozingirwa na watu fulani, matatizo yalizidi. Nilipoteza pesa bila sababu, nilikosa usingizi, na nilijihisi mzito kila mara.…CONTINUE READING