Nilikuwa Nafungua Duka Kila Asubuhi Bila Wateja Nilichofanya Kikaanza Kuvutia Mauzo

Nilipoanzisha biashara yangu, nilikuwa na matumaini makubwa. Nilipanga bidhaa vizuri, nikahakikisha bei zangu ni za ushindani, lakini bado siku zilipita bila mabadiliko. Wateja walikuwa wachache sana, na wakati mwingine siku nzima ilipita bila hata mauzo moja.

Nilianza kujilaumu, nikidhani labda eneo ni baya au labda mimi sina bahati kwenye biashara.
Nilijaribu matangazo madogo madogo, nikabadili mpangilio wa duka, hata nikapunguza bei, lakini wateja walikuwa wanapita tu.…CONTINUE READING