Kwa nje, maisha yangu yalionekana sawa. Nilikuwa nacheka, nikiwahimiza wengine, na kuonekana kama mtu asiye na shida. Lakini ndani yangu kulikuwa tupu. Kulikuwa na ukimya mzito ambao haukuwa na sauti, lakini uliuma.
Nilijilazimisha kuwa na furaha kwa sababu sikuwa nataka mtu yeyote ajue jinsi nilivyokuwa nikihisi. Kadri siku zilivyopita, ndivyo nilivyozidi kuchoka kuigiza. Nilianza kujiuliza kwa nini sikuhisi furaha hata nikitimiza malengo niliyokuwa nimepania.…CONTINUE READING