Mwanzo wa mwaka mpya kila mara ulikuwa chanzo cha wasiwasi kwangu. Nilijikuta nikihofia kuwa kila jambo ambalo lingetokea lingekuwa na bahati mbaya, kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita.
Changamoto za kifedha, mashida ya familia, na matatizo ya kila siku yalikuwa yakinirudisha nyuma kila nilipojaribu kusonga mbele. Nilianza Januari kwa hofu, nikijiuliza kama mwaka huu ungekuwa sawa au mwingine wa hasara.…CONTINUE READING