Nilikuwa Napata Kichwa Kikali Karibu Kila Siku Nilipoacha Kubahatisha Tiba, Maumivu Yalipungua

Nilikuwa nimezoea kuamka na maumivu makali ya kichwa karibu kila siku. Wakati mwingine yalikuwa ya kubana kama kitu kinanifungia kichwa, wakati mwingine yalikuwa ya kudunda hadi macho kunichoma.

Dawa za kawaida zilinisaidia kwa muda mfupi tu, halafu maumivu yalirudi tena. Nilianza kuchoka kimwili na kisaikolojia, maana sikuelewa chanzo halisi cha hali yangu. Kazi zangu zilianza kuathirika.…CONTINUE READING