Kwa muda mrefu nilijihisi kuwa na tatizo lisilo la kawaida. Kila nikikutana na mume wangu au fikiria tendo la ndoa, hamu yangu ilikuwa chini sana. Nilijaribu kuzungumza naye, lakini mara nyingi nilihisi aibu au hasira kwa sababu sijui tatizo lilitoka wapi.
Nilijaribu kubadilisha mtindo wa maisha, kula vizuri, hata kupumzika zaidi, lakini hakuna kilichobadilika. Hali hii ilinifanya nijihisi kuchoshwa na kuanza kujilaumu. Nilijisikia kuwa si mzuri tena, na kuishi kwa hofu ya kuvunja uhusiano wangu kulikuwa kawaida.…CONTINUE READING