Kwa muda mrefu, usingizi haukuwa tena mapumziko kwangu. Kila nilipofumba macho, ndoto zile zile zilinijia giza, kukimbizwa, kuanguka, au kuamka kwa mshutuko nikiwa nimesimama jasho. Usiku haukuwa tena wa kupumzika bali wa vita.
Asubuhi niliamka nikiwa mchovu, mwenye hofu, na siku nzima akili yangu ilikuwa nzito kana kwamba nilikuwa sijalala kabisa. Nilijaribu kujipa sababu za kawaida. Nilidhani ni stress ya kazi, mawazo ya maisha, au labda uchovu uliopitiliza.…CONTINUE READING