Kwa muda mrefu, nilijikuta nikiteseka kimoyo na kiroho. Ndoto zangu za kufanikisha maisha yangu, kupata amani ya ndani, na kufanikisha familia yangu zilionekana kutokuwepo.
Kila siku nilijaribu, lakini kila jaribio lilishindikana; nilihisi huzuni isiyo na mwisho na kuanza kujiuliza kama maisha yangu yangeweza kamwe kubadilika.…CONTINUE READING