Niliposema nilimpoteza mke wangu, watu walidhani tuliachana au mmoja wetu alisaliti mwenzake. Lakini ukweli ni kwamba tulikuwa bado tumefunga ndoa halali, tunaishi nyumba moja, lakini nilimhisi akinipotea kila siku. Alikuwa yupo kimwili, lakini kiroho na kihisia hakuwa wangu tena.
Aliniacha polepole, kimya kimya, bila mabishano wala kelele. Mabadiliko yalianza ghafla. Mazungumzo yakapungua, ukaribu ukatoweka, na kila nilipotafuta sababu, alipata kisingizio. Nilipojaribu kumkumbatia, alihisi mbali. Nilipojaribu kuzungumza, alichoka haraka.…CONTINUE READING