Kila mwaka nilisubiri kwa hamu kupata promotion kazini, lakini kila mwaka nilinyimwa bila sababu za kweli. Nilijisemea labda ni bahati mbaya, labda sikutosha.
Lakini baada ya muda nilianza kuona kuwa tatizo lilikuwa kubwa zaidi kulikuwa na vizuizi vilivyokuwa vikinyamazisha juhudi zangu, na wengi hawakuwa tayari kuona uwezo wangu.…CONTINUE READING