Nilikuwa na furaha isiyoelezeka nilipokuwa na mume wangu na kuanza kujaribu kupata mtoto. Hata hivyo, furaha yangu ilidhoofika ghafla nilipopoteza mimba mara mbili mfululizo.
Maumivu ya kihisia na woga wa kupoteza tena yaliniua ndani. Nilijihisi nimechukuliwa na bahati mbaya, na hata madaktari waliposema kila kitu kipo sawa kiafya, moyo wangu haukunyooka.…CONTINUE READING