Nilipoteza Nguvu Zangu Polepole Mpaka Kioo Kilipoonyesha Kitu Ambacho Sikuwa Mimi

Sikuwahi kufikiria kuna siku nitaogopa kioo. Nilikuwa mtu wa kawaida, mwenye afya, mwenye ndoto na mipango. Lakini polepole, mambo yalianza kubadilika bila maelezo.

Nilikuwa nachoka bila kufanya kazi ngumu, usingizi haukuwa usingizi, na kila asubuhi niliamka nikiwa mzito kama mtu aliyebeba mzigo usioonekana. Watu walidhani labda ni msongo wa mawazo au uchovu wa maisha.…CONTINUE READING