Nilikuwa nimejawa na furaha baada ya kuamua kwenda kanisa tajika jijini Nairobi. Nilifikiri kila kitu kitakuwa sawa na maisha yangu yatakuwa ya amani. Lakini siku hiyo, nilianza kuhisi mambo yasiyoelezeka.
Hisia za kutoelewa zilianza kutawala, na siku chache baadaye nilijua kuwa kulikuwa na kitu kinanisababisha kushindwa kuendelea na maisha yangu kawaida. Nilihisi nimefungwa kiroho, na hofu ilianza kuingia moyoni mwangu kila siku.…CONTINUE READING