Kwa miaka mingi nilijikuta nikiteseka na nywele zangu zilizo kata na kuwa tanuru. Nilijaribu vipodozi vya gharama kubwa, dawa za nywele za kibiashara, na hata extensions na weave, lakini matokeo yalikuwa hafifu.
Nywele zangu zilikua polepole sana, mara nyingi zikavunjika, na mara nyingine zikapoteza unyevunyevu wake wa asili. Nilijiona nikipoteza muda, pesa, na matumaini ya kupata nywele ndefu, nzito na laini kama nilivyokuwa nikitamani.…CONTINUE READING