Kwa muda mrefu, kila chakula nilichokila kilikuwa ni changamoto. Maumivu makali ya tumbo yalikuwa ni sehemu ya maisha yangu ya kila siku. Nilijaribu dawa za maduka, vidonge vya kupunguza maumivu, na hata njia za kienyeji ambazo marafiki walinipendekeza, lakini hakuna kilichofanya tofauti.
Kila siku ilikuwa ni mapambano; hata kula chakula kidogo kilikuwa ni hatari, na mara nyingi nilianza kupoteza hamu ya kula.
Nilihisi kuchoshwa, kuachwa na matumaini, na kuanza kuishi kwa woga kila nilipofikiria chakula.…CONTINUE READING