Siku ile ilikuwa kama nyingine yoyote, lakini haikuwa. Nilikuwa na ajali ndogo ya gari sasa nikifikiria, haikuwa ndogo kwa mwili wangu. Nilijikuta nikiumwa vibaya, miguu yangu ilikuwa dhaifu, na kila mwendo ulihitaji juhudi kubwa.
Madaktari waliniambia kuwa nitachukua miezi ili kurejea kawaida, na baadhi walionyesha hofu kuwa huenda nikabaki na udhaifu wa kudumu. Nilijihisi maisha yangu yamevunjika, na hofu ilianza kuingia moyoni mwangu.…CONTINUE READING