Kwa zaidi ya miaka mitano, kila nilipopanga kusafiri kipindi cha Krismasi, kulikuwa na tukio baya njiani. Aidha gari kuharibika katikati ya safari, dereva kulala usingizi, au ajali ndogo zilizoniacha na hofu ya kudumu.
Ilifika mahali nikaanza kuamini kuwa nina mkosi wa safari, hasa nyakati za sikukuu. Mwaka huu nilikuwa nimeshachoka. Sikuthubutu hata kuwaambia watoto kuwa tunasafiri, kwa sababu sikutaka kuwawekea hofu mapema.…CONTINUE READING