Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

Kama vijana wengi wa rika lake, Mpoki kutoka Bukoba, mji uliopo kando ya Ziwa Victoria, alikuwa shabiki mkubwa wa soka, hasa Ligi Kuu Italia (Serie A), na alijihusisha kwa kiasi kikubwa na mchezo wa kubashiri matokeo ya michezo, maarufu kama betting.

Kwa miaka mingi, Mpoki aliwekeza pesa zake kidogo kidogo alizopata kwa kufanya vibarua, akitarajia siku moja atapata ushindi mkubwa utakaomtoa kwenye umasikini. Lakini bahati haikuwa upande wake. Alikuwa akikaribia sana kushinda; mara kwa mara, ubashiri wake ulipata mechi zote isipokuwa moja tu ndiyo iliharibu tiketi yake, na kumuacha akipoteza pesa zake.…CONTINUE READING