Sikuwa na hamu yoyote, nilikuwa nafanya tu ili kumridhisha mume wangu

Naitwa Happy, mkazi wa mkoa wa Pwani, mjini Kibaha. Kwa muda wa miaka mitano ya ndoa yangu, nilikuwa napata mateso makali mno chumbani ambayo sikuwa na ujasiri wa kumwambia mtu yeyote. Kila tulipokuwa tukishiriki tendo la ndoa na mume wangu, nilikuwa napata vidonda na michubuko sehemu za siri kutokana na ukavu uliokithiri.

Sikuwa na hamu yoyote ya tendo na nilikuwa nafanya tu ili kumlizisha mume wangu, lakini matokeo yake yalikuwa ni maumivu makali kiasi cha kunifanya nichukie hata kumuona mume wangu akikaribia kitanda.

Nilienda hospitali kubwa hapa Kibaha na hata kule Dar es Salaam, wakaniambia nina matatizo ya homoni na kunipa dawa ambazo hazikusaidia kitu zaidi ya kuniongezea uzito. Mume wangu alianza kunihurumia na wakati mwingine kuacha kabisa kutaka unyumba kwa hofu ya kuniumiza zaidi, jambo lililotufanya tuishi kama kaka na dada badala ya mume na mke.

Upendo ulianza kupotea na nyumba ikawa haina kicheko tena. Siku moja nikiwa ninasoma gazeti, niliona shuhuda za wanawake waliopona kupitia Kiwanga Doctors wa Kisumu Town, Kenya kupitia namba yake +255 763 926 750.

Niliandika namba yake na kuamua kumpigia simu. Kiwanga Doctors alinieleza kuwa tatizo la ukavu linaweza kusababisha madhara makubwa kama halitafanyiwa kazi mapema. Alinitumia dawa yake ya asili na nikaanza kuitumia kwa uaminifu.

Baada ya wiki moja tu, mabadiliko yalikuwa ni kama miujiza ya ajabu. Hamu ilirudi kwa kishindo na mwili wangu ukawa unatoa unyevu wa asili kwa wingi kiasi kwamba sikuwa na maumivu wala vidonda tena.

Mume wangu alifurahi sana kuona napata furaha ya tendo na sasa ndoa yetu imerudi katika hali yake ya kawaida ya upendo na amani tele. Namshukuru sana Kiwanga Doctors kwa utaalam wake na kunirudishia furaha yangu ya ndoa.

Kwa mwanamke yeyote anayepata vidonda na maumivu kwa sababu ya ukavu, usiteseke tena kitandani. Mpigie Kiwanga Doctors kwa namba +255 763 926 750 sasa hivi upate msaada wa uhakika.