Nilijikuta katika hali ngumu sana. Mpenzi wangu wa muda mrefu alinieleza maneno ambayo yaliniangusha kimoyo: “Wewe ni maskini sana, siwezi kuendelea na wewe!”
Kwa mara ya kwanza, nilihisi kama maisha yangu yamevunjika. Nilipoteza heshima yangu, na huzuni kubwa ilinijaza kila kona ya moyo wangu.
Kila kitu kilionekana kuenda vibaya.…CONTINUE READING