Kwa miaka miwili nilikuwa naishi maisha ya kukataliwa. Kila wiki nilikuwa natuma CV, nikajaza applications, na kwenda interviews nikiwa na matumaini makubwa. Wakati mwingine nilikuwa nafika hatua ya mwisho kabisa ya usaili, mpaka naambiwa, “Tutakupigia simu.” Lakini simu haikuwahi kuja.
Mwanzoni nilijipa moyo. Nilijua maisha si rahisi na kila mtu hupitia changamoto. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilianza kuniumiza zaidi.
Nilikuwa na qualifications nzuri, nilijitahidi kuvaa vizuri kwenye interviews, na hata kujifunza jinsi ya kujibu maswali kwa confidence.
.Lakini kila nilipokaribia kupata kazi, mambo yalikuwa yanaharibika ghafla bila kuelewa sababu. Kilichoniumiza zaidi ni kuona marafiki niliomaliza nao shule wakianza maisha vizuri huku mimi nikiwa bado narudi nyumbani mikono mitupu. Wengine walikuwa hata wananishangaa, wakisema, “Inawezekanaje umefanya interviews nyingi hivi bila kazi?”
Polepole nilianza kupoteza kujiamini. Ilifika hatua nikaanza kuogopa hata kuona tangazo la kazi. Nilikuwa nimechoka psychologically. Kila niliposikia simu ikiita baada ya interview, moyo ulikuwa unapiga haraka, lakini mara nyingi ilikuwa disappointment nyingine.
Siku moja baada ya kufeli interview yangu ya sita mfululizo, nilikaa peke yangu nikijiuliza kama kweli kuna kitu nilikuwa sifanyi sawa. Ndipo binamu yangu mmoja aliponiambia kuhusu Kiwanga Doctors. Aliniambia walikuwa wamewahi kumsaidia kupata mwongozo kipindi maisha yake yalipokuwa yamekwama.
Kwa kuwa nilihisi sina cha kupoteza tena, niliamua kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia +255 763 926 750 na kuwaeleza kila kitu.
Baada ya kunisikiliza kwa makini, Kiwanga Doctors walinipa mwongozo wa jinsi ya kujenga confidence yangu upya, kubadilisha namna nilivyokuwa najitambulisha mbele ya waajiri, na hatua kadhaa za kunisaidia kuvunja hali ya kukata tamaa iliyokuwa imenijaa.
Nilifuata maelekezo yao kwa umakini mkubwa.
Cha kushangaza, nilipoitwa interview nyingine, nilijihisi tofauti kabisa. Nilikuwa mtulivu, confident, na nilijieleza vizuri kuliko kawaida.
Wiki moja baadaye simu iliingia.
Sikutarajia nilichosikia. Nilikuwa nimepata kazi.
Nilikaa kimya kwa dakika kadhaa nikiwa siamini. Baada ya miaka ya kukataliwa, hatimaye nilikuwa nimepata nafasi niliyokuwa nikiisubiri.
Kupitia msaada na mwongozo wa Kiwanga Doctors kupitia +255 763 926 750, nilipata matumaini mapya wakati tayari nilikuwa karibu kuacha kabisa kutafuta kazi.
Leo hii nimejifunza kuwa wakati mwingine unapokaribia kukata tamaa, mabadiliko makubwa yanaweza kuwa karibu kuliko unavyofikiria.